News and Events Change View → Listing

Ubalozi umeshiriki katika Mkutano wa Biashara Afrika (Africa Business Conference) ulioandaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Harvard jijini Boston, Massachusetts

Ubalozi umeshiriki katika Mkutano wa Biashara Afrika (Africa Business Conference) ulioandaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Harvard jijini Boston, Massachusetts. Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza…

Read More

Mtandao wa Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza na diaspora wa Tanzania nchini Marekani Januari 2025

Mwezi Januari 2025, Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifanya mkutano kwa njia ya mtandao na diaspora wa Tanzania nchini Marekani. Kwenye mkutano huo, pamoja na mambo mengine, Mhe. Balozi aliwashukuru diaspora…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akutana na Bw. Matt Damon Muigizaji Maarufu duniani ambaye pia ni mwanzilishi mwenza wa taasisi za Water.org na WaterEquity pamoja na Bw. Gary White mwanzilishi mwenza

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akizungumza na Bw. Matt Damon, Muigizaji Maarufu duniani ambaye pia ni mwanzilishi mwenza wa taasisi za Water.org na WaterEquity pamoja na Bw. Gary White, mwanzilishi mwenza wa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki na kuzungumza kwenye mkutano wa kujadili uhusiano wa Majiji Dada (sister cities) kati ya Tanzania na Marekani

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki na kuzungumza kwenye mkutano wa kujadili uhusiano wa Majiji Dada (sister cities) kati  ya Tanzania na Marekani ulioandaliwa na Taasisi ya Sister Cities…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Richard Neal (MA-01), Kiongozi wa Upinzani (Ranking Member) katika Kamati ya Bunge la Wawakilishi la Marekani

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Richard Neal (MA-01), Kiongozi wa Upinzani (Ranking Member) katika Kamati ya Bunge la Wawakilishi la Marekani inayoshughulikia Mapato…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kwenye hafla ya kusheherekea msimu wa Sikukuu iliyoandaliwa na Mhe. Anthony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kwenye hafla ya kusheherekea msimu wa Sikukuu iliyoandaliwa na Mhe. Anthony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa ajili ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao…

Read More

Women’s Foreign Policy Group (WFPG), the event namely, Critical Minerals in Conversation: Economic Security and the U.S.-Africa Relationship, held at Tanzania House

We were happy to co-host with the Women's Foreign Policy Group (WFPG), the event namely, Critical Minerals in Conversation: Economic Security and the U.S.-Africa Relationship, held at Tanzania House. H.E. Amb.…

Read More