News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alifanya ziara ya kikazi katika Jimbo la Arizona kufuatia mwaliko wa Mhe. Tony Rivero, Mwenyekiti wa Kamati ya Biashara ya Kimataifa ya Bunge la Jimbo la Arizona.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alifanya ziara ya kikazi katika Jimbo la Arizona kufuatia mwaliko wa Mhe. Tony Rivero, Mwenyekiti wa Kamati ya Biashara ya Kimataifa ya Bunge la Jimbo la Arizona. Agosti,…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, katika nafasi yake ya Amidi wa Mabalozi wa nchi za SADC jijini Washington, D.C. Julai 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, katika nafasi yake ya Amidi wa Mabalozi wa nchi za SADC jijini Washington, D.C., alikuwa mwenyeji wa Mabalozi na Kaimu Mabalozi kutoka nchi tajwa katika hafla ya kumuaga Mhe.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana kwa mazungumzo na Bw. David Reinecke kutoka Ofisi ya Masuala ya Anga za Juu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani pamoja na Bi. Kim Hurst kutoka NASA

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana kwa mazungumzo na Bw. David Reinecke kutoka Ofisi ya Masuala ya Anga za Juu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani pamoja na Bi. Kim Hurst kutoka Shirika la Masuala ya…

Read More

UBALOZI WAADHIMISHA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI - 26 JULAI, 2026

UBALOZI WAADHIMISHA SIKU YA KISWAHILI DUNIANIUbalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, kwa kushirikiana na Africatown, African Cultural Alliance of North America (ACANA), ODUNDE 365…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa uwekezaji ulioandaliwa na Africa Global Chamber of Commerce, jijini Chicago, Illinois.

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa uwekezaji ulioandaliwa na Africa Global Chamber of Commerce, jijini Chicago, Illinois. Mkutano huo ni sehemu ya utekelezaji wa…

Read More

Mhe. Balozi alifurahi kukutana na Bw. Frank W. Garcia, Jr., Waziri Msaidizi wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Masuala ya Afrika

Mhe. Balozi alifurahi kukutana na Bw. Frank W. Garcia, Jr., Waziri Msaidizi wa Mambo ya Nje wa Marekani anayeshughulikia Masuala ya Afrika wakati wa hafla iliyoandaliwa na Bw. Garcia kwa ajili ya Mabalozi wa…

Read More

Mhe. Dkt. Elsie S. Kanza, Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico alifurahi kumpokea Tanzania House, Mhe. Roelf Meyer, Balozi mpya wa Afrika Kusini nchini Marekani.

Mhe. Dkt. Elsie S. Kanza, Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico alifurahi kumpokea Tanzania House, Mhe. Roelf Meyer, Balozi mpya wa Afrika Kusini nchini Marekani. Mhe. Balozi Meyer alimtembelea Mhe.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji wakuu pamoja na Balozi Jessica Ba kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji wakuu pamoja na Balozi Jessica Ba kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, kwenye mkutano wa wafanyabiashara wanawake diaspora wa…

Read More