News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji kwenye mkutano wa wadau wa uwekezaji wa Marekani kwenye sekta za madini na nishati barani Afrika, March 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji kwenye mkutano wa wadau wa uwekezaji wa Marekani kwenye sekta za madini na nishati barani Afrika. Kwenye mkutano huo, washiriki walipata…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye Mkutano Mkuu wa nchi wanachama wa shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC), March 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye Mkutano Mkuu wa 83 wa nchi wanachama wa shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC) lenye makao makuu hapa…

Read More

Ambassador Dr. Elsie Sia Kanza met for discussions with Mr. Jeffrey Graham, Head of the Office (SBO) responsible for Global Health Security and Diplomacy in the U.S. Department of State March 2026

Ambassador Dr. Elsie Sia Kanza met for discussions with Mr. Jeffrey Graham, Head of the Office (SBO) responsible for Global Health Security and Diplomacy in the U.S. Department of State. The meeting, which…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki sherehe ya sikukuu ya Eid al-Fitr iliyoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu Watanzania (TAMCO), Machi 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki sherehe ya sikukuu ya Eid al-Fitr iliyoandaliwa na  Jumuiya ya Waislamu Watanzania (TAMCO) wanaoishi kwenye eneo la Washington, D.C., na miji ya pembezoni…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki katika tukio la kuadhimisha St. Patrick’s Day lililoandaliwa na taasisi ya Tanzanian Children’s Project (TCP), Machi 2026

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki katika tukio la kuadhimisha St. Patrick’s Day lililoandaliwa na taasisi ya Tanzanian Children’s Project (TCP) kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya…

Read More

Ubalozi ulishirikiana na shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC) lenye makao makuu Washington DC kuandaa mkutano wa wadau wakuu wa sekta ya pamba na nguo nchini Tanzania, Machi 2026

Ubalozi kwa kushirikiana na shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC) lenye makao makuu hapa Washington, D.C., uliandaa mkutano wa wadau wakuu wa sekta ya pamba na nguo nchini Tanzania. Mkutano…

Read More