News and Events Change View → Listing

Ubalozi uliratibu ushiriki wa Mhe. Abdallah H. Ulega ( Mb.), Waziri wa Ujenzi kwenye Mkutano uliojadili uimarishwaji wa miundombinu ulioandaliwa na Benki ya Dunia hapa Washington, D.C.

Ubalozi uliratibu ushiriki wa Mhe. Abdallah H. Ulega ( Mb.), Waziri wa Ujenzi kwenye Mkutano uliojadili uimarishwaji wa miundombinu ulioandaliwa na Benki ya Dunia hapa Washington, D.C., ambao ulifanyika tarehe…

Read More

Ubalozi ulishiriki kwenye Kongamano la Dini na Mahafali ya Chuo cha Kimataifa cha Biblia cha Umoja (Umoja International Bible College) kuanzia tarehe 07 hadi 09 Machi 2025, jijini Dallas, Texas

Kufuatia mwaliko kutoka kwa uongozi wa Makanisa ya Umoja ya hapa Marekani, Ubalozi ulishiriki kwenye Kongamano la Dini na Mahafali ya Chuo cha Kimataifa cha Biblia cha Umoja (Umoja International Bible College)…

Read More

Ubalozi unashiriki kwenye kongamano liitwalo Maendeleo ya Uchumi (Tanzania Economic Development Summit) linalofanyika kuanzia tarehe 10 hadi 14 Machi 2025 hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam

Ubalozi unashiriki kwenye kongamano liitwalo Maendeleo ya Uchumi (Tanzania Economic Development Summit) linalofanyika kuanzia tarehe 10 hadi 14 Machi 2025, katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam.…

Read More

H.E. Ambassador Dr. Elsie S. Kanza was honored to meet with the Honorable Rep. Brian Mast, Chairman of the U.S. House Committee on Foreign Affairs here in Washington, D.C.

Last week, H.E. Ambassador Dr. Elsie S. Kanza was honored to meet with the Honorable Rep. Brian Mast, Chairman of the U.S. House Committee on Foreign Affairs here in Washington, D.C. The meeting discussed…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye Jopo lililojadili kuhusu mazingira ya biashara barani Afrika kufuatia mabadiliko yanayoendelea kwenye nchi mbalimbali.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye Jopo lililojadili kuhusu mazingira ya biashara barani Afrika kufuatia mabadiliko yanayoendelea kwenye nchi mbalimbali yenye mwelekeo wa kulinda zaidi biashara…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni rasmi kwenye kikao kazi kilichoandaliwa na taasisi ya Potomac Exchange ya hapa Washington D.C.

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni rasmi kwenye kikao kazi kilichoandaliwa na taasisi ya Potomac Exchange ya hapa Washington D.C.  Kikao hicho kililenga kuziwezesha kampuni wanachama wa…

Read More

Ubalozi ulishirikiana na taasisi iitwayo World Artists Experiences (WAE) kuandaa tamasha kwa njia ya mtandao lililoonesha filamu ya Tanzania

Ubalozi ulishirikiana na taasisi iitwayo World Artists Experiences (WAE) kuandaa tamasha kwa njia ya mtandao lililoonesha filamu ya Tanzania: the Royal Tour kwa wadau wa taasisi hiyo.  Mhe. Balozi Dkt.…

Read More