News and Resources Change View → Listing

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Dkt. Zarau W. Kibwe, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Kundi la Kwanza la Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Januari 2026

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Dkt. Zarau W. Kibwe, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Kundi la Kwanza la Benki ya Dunia Kanda ya Afrika (World Bank’s Africa Group 1…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye kampeni maalum ya kushawishi mamlaka za nchi ya Marekani kurefusha muda wa kutekeleza programu AGOA, Washington D.C., Januari 2026

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye kampeni maalum ya kushawishi mamlaka za nchi ya Marekani kurefusha muda wa kutekeleza programu AGOA iliyofanyika hapa Washington D.C., kuanzia tarehe 12…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alijumuika na Mhe. Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani pamoja na mke wake, Bi. Jeanette Rubio, kwenye hafla ya Sikukuu ya Noeli Desemba 2025

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifurahi kujumuika na Mhe. Marco Rubio pamoja na mke wake, Bi. Jeanette Rubio, na Mabalozi wa nchi nyingine na Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kwenye…

Read More

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mhe. Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Marekani ambaye ni Mjumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika, 2025

Katika mwendelezo wa mazungumzo na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza uhusiano baina ya Tanzania na Marekani, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…

Read More

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Mhe. Dkt. Ronny L. Jackson, Mjumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, Desemba 2025

Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ameendelea kufanya mikutano na Viongozi na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza na kuimarisha uhusiano baina…

Read More

Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania akutana na Mhe. Mbunge Brian J. Mast, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, Desemba, 2025

Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki alifanya ziara ya kikazi jijini Washington, D.C., Marekani na kukutana na wadau mbalimbali muhimu katika…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa na Seneta Susan Collins, Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Bajeti ya Bunge la Seneti la Marekani.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki kwenye hafla iliyoandaliwa kwa heshima ya Mabalozi Wanawake, na Seneta Jeanne Shaheen, Kiongozi wa Upinzani wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la Seneti la Marekani…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi ya Rob Walton na taasisi ya Kimataifa ya masuala ya uhifadhi ( ICCF)

Tarehe 18 Novemba 2025, Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi ya Rob Walton na  taasisi ya Kimataifa ya masuala ya uhifadhi ( ICCF). Madhumuni ya…

Read More