News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alifurahi kujumuika na Mhe. Muriel Bowser, Meya wa jiji la Washington, D.C. Februari 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alifurahi kujumuika na Mhe. Muriel Bowser, Meya wa jiji la Washington, D.C., Viongozi wengine waandamizi wa jiji hilo, pamoja na Mabalozi na wawakilishi wao katika hafla…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye maonesho ya 54 ya uwindaji ya Safari Club International Convention (SCI) yaliyofanyika jijini Nashville, Tennessee, kuanzia tarehe 18-21 Februari 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye maonesho ya 54 ya uwindaji ya Safari Club International Convention (SCI) yaliyofanyika jijini Nashville, Tennessee, kuanzia tarehe 18 hadi 21 Februari 2026.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa taasisi ya hisani ya Convoy of Hope ya hapa Marekani, Bw. Kevin Rose na Bw. Mark Powers, Februari 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa taasisi ya hisani ya Convoy of Hope ya hapa Marekani, Bw. Kevin Rose na Bw. Mark Powers.Kwenye mazungumzo hayo, Viongozi hao walijadili…

Read More

Mhe. Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Compassion International, Februari 2026

Mhe. Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Compassion International. Mazungumzo hayo yaliyofanyika kwenye ofisi za Ubalozi hapa Washington, D.C.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Vincent D. Spera, Naibu Waziri Mdogo (Deputy Assistant Secretary) kwenye Ofisi ya Masuala ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekan

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Vincent D. Spera, Naibu Waziri Mdogo (Deputy Assistant Secretary) kwenye Ofisi ya Masuala ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Lengo…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Eric Trachtenberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Kamati ya Kimataifa ya Ushauri kuhusu zao la Pamba (ICAC) Januari 2026

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Eric Trachtenberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Kamati ya Kimataifa ya Ushauri kuhusu zao la Pamba (International Cotton Advisory Committee…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Wilbard Shihepo Manique Hellao, Balozi Mpya wa Namibia nchini Marekani, Januari 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Wilbard Shihepo Manique Hellao, Balozi Mpya wa Namibia nchini Marekani. Pamoja na masuala mengine, lengo la kikao hicho lilikuwa ni…

Read More

he. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amefurahi kukutana kwa mazungumzo na Mhe. David Douglas Hamadziripi, Balozi Mpya wa Zimbabwe nchini Marekani, Januari 2026

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amefurahi kukutana kwa mazungumzo na Mhe. David Douglas Hamadziripi, Balozi Mpya wa Zimbabwe nchini Marekani. Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni kufahamiana, kujadili…

Read More