News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji katika Jukwaa liitwalo Global Black Economic Forum (GBEF)

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji katika Jukwaa liitwalo Global Black Economic Forum (GBEF) ambalo ni sehemu ya tamasha maarufu la Essence (Essence Festival of Culture)…

Read More

AFRICA DAY 2025

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki kwenye mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Mhe. Jonathan Jackson na Mhe. Sheila Cherfilus-McCormick, Wabunge wa Bunge la Wawakilishi la Marekani (U.S.…

Read More

Siku ya Kiswahili Duniani Mwaka 2025

Katika kuadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani mwaka huu, Ubalozi ulishirikiana na Diaspora wa Tanzania na washirika wake wengine kufanya matukio mbalimbali yaliyolenga kutangaza Lugha hiyo adhimu na utamaduni…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki na kutoa hotuba maalum katika Mkutano wa 119 wa Chama cha Maafisa wa Fedha wa Serikali

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki na kutoa hotuba maalum katika Mkutano wa 119 wa Chama cha Maafisa wa Fedha wa Serikali (Government Finance Officers Association – GFOA) uliofanyika hapa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 249 ya uhuru wa Marekani iliyoitishwa na Mhe. Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 249 ya uhuru wa Marekani iliyoitishwa na Mhe. Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani. Akiwa kwenye sherehe hizo,…

Read More

Ubalozi uliratibu na kushiriki kwenye ziara ya Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb.), Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Marekani

Ubalozi uliratibu na kushiriki kwenye ziara ya Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb.), Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Marekani ambako alimwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na Bi. Maria A. Velez, Makamu wa Rais wa kampuni ya SBA

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na Bi. Maria A. Velez, Makamu wa Rais wa kampuni ya SBA ya hapa Marekani anayeshughulikia masuala ya uhusiano na Bw. Ravi Suchak, Mkuu wa Mambo…

Read More

Mhe. Balozi alishiriki kama mgeni maalum kwenye mkutano uliojadili kuhusu umuhimu wa teknolojia ya akili mnemba barani Afrika ambao uliandaliwa na Kituo cha Biashara cha Marekani na Afrika

Mhe. Balozi alishiriki kama mgeni maalum kwenye mkutano uliojadili kuhusu umuhimu wa teknolojia ya akili mnemba barani Afrika ambao uliandaliwa na Kituo cha Biashara cha Marekani na Afrika kilicho chini ya…

Read More