News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alishiriki kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug (World Food Prize International Dialogue 2025) uliofanyika Des Moines, Iowa.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alishiriki kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug (World Food Prize International Dialogue 2025) uliofanyika Des Moines, Iowa. Mkutano huo uliwaleta pamoja viongozi,…

Read More

Mheshimiwa Balozi alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya uhusiano wa majiji dada (sister city relationship) kati ya Moshi na Delray Beach, Florida.

Mheshimiwa Balozi alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya uhusiano wa majiji dada (sister city relationship) kati ya Moshi na Delray Beach, Florida. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa pia na Meya wa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bi. Anita Rich, Mwanzilishi na Rais wa taasisi inayojishughulisha na masuala ya uuguzi iitwayo Nurses Heart to Heart ( NHTH) ya hapa Mareka

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bi. Anita Rich, Mwanzilishi na Rais wa taasisi inayojishughulisha na masuala ya uuguzi iitwayo Nurses Heart to Heart ( NHTH) ya hapa Marekani.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifanya mazungumzo na uongozi wa Shule ya Utabibu ya Chuo Kikuu cha Emory jijini Atlanta, Georgia

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifanya mazungumzo na uongozi wa Shule ya Utabibu ya Chuo Kikuu cha Emory jijini Atlanta, Georgia alipokuwa jijini humo kushiriki kwenye Tamasha la Wanadiaspora wa Tanzania wa…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana na kufanya mazungumzo na Mstahiki Meya wa jiji la Durham, Mhe. Leonardo Williams

Tarehe 13 Agosti 2025, Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana na kufanya mazungumzo na Mstahiki Meya wa jiji la Durham, Mhe. Leonardo Williams kwa ajili ya kudumisha na kustawisha uhusiano uliopo kwa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye mkutano uitwao Executive Networking Conference ulioandaliwa na taasisi ya Minority Instutitute of Economic Development

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye mkutano uitwao Executive Networking Conference ulioandaliwa na taasisi ya Minority Instutitute of Economic Development (NIMED)…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji katika Jukwaa liitwalo Global Black Economic Forum (GBEF)

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji katika Jukwaa liitwalo Global Black Economic Forum (GBEF) ambalo ni sehemu ya tamasha maarufu la Essence (Essence Festival of Culture)…

Read More

AFRICA DAY 2025

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki kwenye mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Mhe. Jonathan Jackson na Mhe. Sheila Cherfilus-McCormick, Wabunge wa Bunge la Wawakilishi la Marekani (U.S.…

Read More