News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa na Seneta Susan Collins, Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Bajeti ya Bunge la Seneti la Marekani.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki kwenye hafla iliyoandaliwa kwa heshima ya Mabalozi Wanawake, na Seneta Jeanne Shaheen, Kiongozi wa Upinzani wa Kamati ya Mambo ya Nje wa Bunge la Seneti la Marekani…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi ya Rob Walton na taasisi ya Kimataifa ya masuala ya uhifadhi ( ICCF)

Tarehe 18 Novemba 2025, Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi ya Rob Walton na  taasisi ya Kimataifa ya masuala ya uhifadhi ( ICCF). Madhumuni ya…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alishiriki kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug (World Food Prize International Dialogue 2025) uliofanyika Des Moines, Iowa.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alishiriki kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug (World Food Prize International Dialogue 2025) uliofanyika Des Moines, Iowa. Mkutano huo uliwaleta pamoja viongozi,…

Read More

Mheshimiwa Balozi alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya uhusiano wa majiji dada (sister city relationship) kati ya Moshi na Delray Beach, Florida.

Mheshimiwa Balozi alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya uhusiano wa majiji dada (sister city relationship) kati ya Moshi na Delray Beach, Florida. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa pia na Meya wa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bi. Anita Rich, Mwanzilishi na Rais wa taasisi inayojishughulisha na masuala ya uuguzi iitwayo Nurses Heart to Heart ( NHTH) ya hapa Mareka

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bi. Anita Rich, Mwanzilishi na Rais wa taasisi inayojishughulisha na masuala ya uuguzi iitwayo Nurses Heart to Heart ( NHTH) ya hapa Marekani.…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifanya mazungumzo na uongozi wa Shule ya Utabibu ya Chuo Kikuu cha Emory jijini Atlanta, Georgia

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alifanya mazungumzo na uongozi wa Shule ya Utabibu ya Chuo Kikuu cha Emory jijini Atlanta, Georgia alipokuwa jijini humo kushiriki kwenye Tamasha la Wanadiaspora wa Tanzania wa…

Read More

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana na kufanya mazungumzo na Mstahiki Meya wa jiji la Durham, Mhe. Leonardo Williams

Tarehe 13 Agosti 2025, Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikutana na kufanya mazungumzo na Mstahiki Meya wa jiji la Durham, Mhe. Leonardo Williams kwa ajili ya kudumisha na kustawisha uhusiano uliopo kwa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye mkutano uitwao Executive Networking Conference ulioandaliwa na taasisi ya Minority Instutitute of Economic Development

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye mkutano uitwao Executive Networking Conference ulioandaliwa na taasisi ya Minority Instutitute of Economic Development (NIMED)…

Read More