News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni mzungumzaji kwenye hafla ya maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani iliyoandaliwa na taasisi ya Business Council for International Understanding (BCIU)

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni mzungumzaji kwenye hafla ya maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani iliyoandaliwa na taasisi ya Business Council for International Understanding (BCIU) ya hapa…

Read More

Ubalozi uliungana na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi jiji la Chicago na maeneo ya jirani kwenye sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanzania Bara

Ubalozi uliungana na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi jiji la Chicago na maeneo ya jirani kwenye sherehe za kuadhimisha Uhuru wa Tanzania Bara. Bi. Sophia Gunda, Afisa Mwandamizi wa Ubalozi aliuwakilisha…

Read More

Ubalozi kwa kushirikiana na taasisi ya Bezos Earth Fund uliandaa mkutano wa Mabalozi (Ambassadorial Briefing) wa nchi za Afrika hapa Washington, D.C.

Ubalozi kwa kushirikiana na taasisi ya Bezos Earth Fund uliandaa mkutano wa Mabalozi (Ambassadorial Briefing) wa nchi za Afrika hapa Washington, D.C., kwa lengo la kupeana taarifa kuhusu maandalizi ya Mkutano…

Read More

Ubalozi ulishiriki kuwaunga mkono wanafunzi wa Kitanzania kutoka Dar es Salaam Independent School ambao walikuja jijini New Haven, CT

Ubalozi ulishiriki kuwaunga mkono wanafunzi wa Kitanzania kutoka Dar es Salaam Independent School ambao walikuja jijini New Haven, CT, hapa Marekani kushiriki kwenye mashindano ya World Scholar’s Cup…

Read More

H.E. Dr. Elsie Sia Kanza was a panelist on a Second Edition of the Empowering Women in Leadership

H.E. Dr. Elsie Sia Kanza was a panelist on a Second Edition of the Empowering Women in Leadership series themed “Resilience to Lead” organized by the World Bank Group. The series aims at empowering and…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, Ameshiriki Katika Hafla Fupi ya Chakula cha Mchana Iliyoandaliwa na The ONE Campaign.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, ameshiriki katika Hafla Fupi ya Chakula cha Mchana iliyoandaliwa na The ONE Campaign katika ukumbi wa Capitol Hill, Washington, D.C. tarehe 12.11. 2024

Read More

VACANCY ANNOUNCEMENT AT THE EMBASSY OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

VACANCY ANNOUNCEMENT AT THE EMBASSY OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Read More

Ubalozi wa Tanzania Ukiambatana na Viongozi wa Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA) Washiriki Tuzo za Viwanja ya Ndege, jijjini Atlanta, Georgia.

Ubalozi uliambatana na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA) kupokea tuzo iliyotolewa kwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ambao umeshinda tuzo ya kutoa huduma bora kwa wateja kwenye…

Read More