News and Resources Change View → Listing

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla iliyoandaliwa na International Club of Annapolis (ICA) iliyofanyika katika jiji la Annapolis, jimbo la Maryland.

Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla iliyoandaliwa na International Club of Annapolis (ICA) iliyofanyika katika jiji la Annapolis, jimbo la Maryland. ICA inaundwa na…

Read More

H.E. Amb. Dr. Elsie Sia Kanza is participating in the Executive Networking Conference Organized by the National Institute of Minority Economic Development (NIMED) 05-07 August 2024

H.E Ambassador Dr. Elsie Sia Kanza is participating in the Executive Nertworking Conference organized by the National Institute of Minority Economic Development (NIMED) which focuses on economic opportunities…

Read More

Ubalozi ulifurahi kuwakaribisha Tanzania House washiriki wa programu ya YALI inayodhaminiwa na Serikali ya Marekani, 1 Agosti, 2024

Ubalozi ulifurahi kuwakaribisha Tanzania House washiriki wa programu ya YALI inayodhaminiwa na Serikali ya Marekani. Washiriki hao wamemaliza mafunzo kwenye vyuo mbalimbali hapa Marekani na walikaribishwa…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi na Wataalamu kutoka nchi zinazonufaika na Programu ya AGOA uliofanyika katika Ofisi za Uwakikishi wa Umoja wa Afrika

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki katika Mkutano wa Maafisa Waandamizi na Wataalamu kutoka nchi zinazonufaika na Programu ya AGOA uliofanyika katika Ofisi za Uwakikishi wa Umoja wa Afrika nchini…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Thomas Bruns, Waziri Mdogo (Deputy Assistant Secretary) wa Wizara ya Biashara ya Marekani, anayeshughulikia Mashariki ya Kati na Afrik

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Thomas Bruns, Waziri Mdogo (Deputy Assistant Secretary) wa Wizara ya Biashara ya Marekani, anayeshughulikia Mashariki ya Kati na Afrika.…

Read More

TANZANIA, BIOVENTURE FOR GLOBAL HEALTH (BVGH) KUIMARISHA HUDUMA ZA SARATANI

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani ili kuimarisha huduma za Saratani nchini Tanzania.Makubaliano hayo yamefikiwa Julai…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Alipata Heshima ya Kuwa Mgeni Mzungumzaji Kwenye Hafla ya Ufunguzi wa Kituo cha Huduma kwa Jamii Kilichojengwa Kumuenzi Jaji Thurgood Marshall

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alipata heshima ya kuwa mgeni mzungumzaji kwenye hafla ya ufunguzi wa kituo cha huduma kwa jamii kilichojengwa kumuenzi Jaji Thurgood Marshall (The Justice Thurgood Marshall…

Read More