News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kama mwanajopo kwenye Jukwaa la Afrika (Africa Forum)

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza ameshiriki kama mwanajopo kwenye Jukwaa la Afrika (Africa Forum) lililoandaliwa na taasisi ya utafiti (think tank) ya Carnegie Endowment for International Peace ya hapa…

Read More

Ubalozi kwa kushirikiana na Ubalozi wa Norway na taasisi ya Clean Cooking Alliance umeitisha mkutano kuhusu nishati safi ya kupikia kwa ajili ya jumuiya ya hapa Marekani.

Ubalozi kwa kushirikiana na Ubalozi wa Norway na taasisi ya Clean Cooking Alliance umeitisha mkutano kuhusu nishati safi ya kupikia kwa ajili ya jumuiya ya hapa Marekani. Mkutano huo uliohusisha wadau…

Read More

Mhe. Dkt. Godwin Mollel (Mb.), Naibu Waziri wa Afya ameongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa masuala ya saratani ulioandaliwa na taasisi ya Global Health Catalyst (GHC) ya hapa Marekani.

Mhe. Dkt. Godwin Mollel (Mb.), Naibu Waziri wa Afya ameongoza Ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa masuala ya saratani ulioandaliwa na taasisi ya Global Health Catalyst (GHC) ya hapa Marekani. Mkutano huo…

Read More

Ubalozi umeungana na nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuadhimisha Siku ya Afrika kwa mwaka 2024.

Ubalozi umeungana na nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuadhimisha Siku ya Afrika kwa mwaka 2024. Maadhimisho hayo yamefanyika kwenye Uwakilishi wa Umoja wa Afrika hapa Washington, D.C. na…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Akiwa Kwenye Picha ya Pamoja na Mhe. John James, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Masuala ya Afrika katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Marekani

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa kwenye picha ya pamoja na Mhe. John James, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Masuala ya Afrika katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Marekani baada ya kumalizika kwa…

Read More

JOINT PUBLIC NOTICE - Tanzania Opens the First Trade Office in the United States of America in Dallas, Texas.

On May 6, 2024, on the margins of the U.S. Africa Business Summit, H.E. Dr. Elsie Sia Kanza, Ambassador of the United Republic of Tanzania to the United States and Mexico participated in the opening of the…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Alikutana na Kufanya Mazungumzo na Bi. British A. Robinson, Mratibu wa Taasisi ya Serikali ya Marekani ya Prosper Africa

Tarehe 15 Mei 2024 Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikutana na kufanya mazungumzo na Bi. British A. Robinson, Mratibu wa Taasisi ya Serikali ya Marekani ya Prosper Africa. Madhumuni ya mazungumzo hayo ni…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, Amekutana kwa Mazungumzo na Dr. Faruk Taban, Rais wa North American University Kilichopo Houston, Texas.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, amekutana kwa mazungumzo na Dr. Faruk Taban, Rais wa North American University kilichopo Houston, Texas, kuhusu fursa mbalimbali za ushirikiano baina ya Chuo hicho na…

Read More