News and Resources Change View → Listing

AROUND THE WORLD EMBASSY TOUR, PASSPORT DC,  MAY 4TH, 2024 10:00 A.M. TO 4:30 P.M.

Around the World Embassy Tour, Passport DC, May 4th, 2024 from 10:00 a.m. to 4:30 p.m.

Read More

Mhe.  Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Akiwa na Wanajopo Kwenye Mkutano wa Masuala ya Madini Uitwao SAFE Summit Uliofanyika Washington, D.C. Machi 12, 2024

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa mmoja wa wanajopo kwenye mkutano wa masuala ya madini uitwao SAFE Summit uliofanyika Washington, D.C. Mkutano huo ulijadili kukuza na kuchochea uwekezaji kwenye madini…

Read More

Vacancy, Program Director MA International Affairs - The George Washington University Elliott School

The George Washington University’s Elliott School of International Affairs invites applications for a full-time, non-tenure-accruing, faculty position to serve as Director of the school’s M.A. program in…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Akiwa Pamoja na Mabalozi Wengine wa Nchi za Afrika Hapa Marekani Wanaonufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA) wa Benki ya Dunia

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa pamoja na Mabalozi wengine wa nchi za Afrika hapa Marekani wanaonufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA) wa Benki ya Dunia katika mkutano baina ya Mabalozi hao na…

Read More

Ubalozi Umewapokea Wanafunzi Kutoka Shule ya Sekondari ya Randolph Iliyopo Jiji la Huntsville, Alabama

Ubalozi umewapokea wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari ya Randolph iliyopo  jiji la Huntsville, Alabama. Wanafunzi hao walikuja kujifunza kuhusu Tanzania ikiwemo historia yetu, utamaduni wetu, vivutio…

Read More

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba Amekutana na Kufanya Mazungumzo na Ujumbe wa Shirika la Changamoto za Milenia-MCC la Marekani.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb.) (wa sita kulia) akiwa na  Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Dkt. Elsie Kanza (wa saba kulia) pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali ya…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Kanza Amekutana kwa Mazungumzo na Mhe. Joy Basu, Naibu Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje (DAS) wa Marekani, Anayeshughulikia Masuala ya Uchumi, Ofisi ya Afrika.

Mhe. Balozi Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Joy Basu, Naibu Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje (DAS) wa Marekani, anayeshughulikia masuala ya Uchumi, Ofisi ya Afrika. Mazungumzo yao yalijikita katika…

Read More