News and Resources Change View → Listing

Vacancy, Program Director MA International Affairs - The George Washington University Elliott School

The George Washington University’s Elliott School of International Affairs invites applications for a full-time, non-tenure-accruing, faculty position to serve as Director of the school’s M.A. program in…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza Akiwa Pamoja na Mabalozi Wengine wa Nchi za Afrika Hapa Marekani Wanaonufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA) wa Benki ya Dunia

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa pamoja na Mabalozi wengine wa nchi za Afrika hapa Marekani wanaonufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA) wa Benki ya Dunia katika mkutano baina ya Mabalozi hao na…

Read More

Ubalozi Umewapokea Wanafunzi Kutoka Shule ya Sekondari ya Randolph Iliyopo Jiji la Huntsville, Alabama

Ubalozi umewapokea wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari ya Randolph iliyopo  jiji la Huntsville, Alabama. Wanafunzi hao walikuja kujifunza kuhusu Tanzania ikiwemo historia yetu, utamaduni wetu, vivutio…

Read More

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba Amekutana na Kufanya Mazungumzo na Ujumbe wa Shirika la Changamoto za Milenia-MCC la Marekani.

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb.) (wa sita kulia) akiwa na  Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Dkt. Elsie Kanza (wa saba kulia) pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali ya…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Kanza Amekutana kwa Mazungumzo na Mhe. Joy Basu, Naibu Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje (DAS) wa Marekani, Anayeshughulikia Masuala ya Uchumi, Ofisi ya Afrika.

Mhe. Balozi Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Joy Basu, Naibu Waziri Mdogo wa Mambo ya Nje (DAS) wa Marekani, anayeshughulikia masuala ya Uchumi, Ofisi ya Afrika. Mazungumzo yao yalijikita katika…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa na wadau wa sekta ya uwindaji kutoka Tanzania na Marekani wakati wa maonesho ya uwindaji jijini Nashville, Tennessee.

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amezungumza na baadhi ya wadau wa sekta ya uwindaji kutoka Tanzania na Marekani wakati wa maonesho ya uwindaji jijini Nashville, Tennesee. Lengo la mazungumzo hayo ni…

Read More

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, akiwa na wadau wa sekta ya uwindaji kutoka Tanzania na Marekani, Jijini Dallas, Texas, Nashville na Tennesee

Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza, amezungumza na baadhi ya wadau wa sekta ya uwindaji kutoka Tanzania na Marekani, wakati wa maonesho ya uwindaji jijini Dallas, Texas. Lengo la mazungumzo hayo ni kuiboresha…

Read More