Toggle navigation
Embassy of the United Republic of Tanzania
Washington D.C., USA
Home
About
About the Embassy
Ambassador’s Message
About Tanzania
Country Profile
History
Natural Resources
People and Culture
Laws and Regulations
Missions and Embassies
Tanzania Holidays
Diplomatic Staff
Former Ambassadors
Services
VISA Information
Online VISA Application
Online Passport Application
Tanzania Citizenship
Tanzania Citizen Services
Permits and Registrations
Application Forms
FAQ
TRAVEL ADVISORY NOTICE
Trade and Investments
Business Information
Investments Opportunities
Doing Business in Tanzania
Why Invest in Tanzania
Investments Guides
Key Business Links
News & Events
Tourism
Travel and Tourism
Tourism Destinations
Things to Do / Places
Plan Your Trip
Travel Advisory Notice
Diaspora
Tanzania Diaspora
Why Diaspora
Diaspora Registration
Community Leaders
Speeches
Diaspora Digital Hub (DDH) Registration
Events
Resources
News and Events
Exhibitions and Fairs
Publications and Reports
Bilateral Relation
Related Links
Photo Gallery
Multimedia Videos
Contacts
1
2
3
4
5
6
7
8
Next
Change View → Summaries
Default Sorting
May (2)
Mar (32)
Dec (13)
Nov (5)
Oct (4)
Sep (1)
Jul (9)
Jan (13)
Nov (1)
Oct (3)
Aug (8)
Jun (3)
May (9)
Apr (2)
Mar (4)
Feb (6)
Nov (1)
Jun (2)
May (1)
Mar (1)
Feb (1)
Dec (10)
Nov (3)
Oct (4)
Sep (2)
Aug (1)
Jun (2)
May (2)
Mar (4)
Feb (1)
Jan (1)
Dec (1)
Nov (1)
Aug (2)
Jul (1)
Jun (2)
Mar (1)
Nov (2)
Sep (1)
Aug (1)
May (2)
Jan (1)
Sep (1)
Aug (2)
Jul (2)
Apr (1)
Jan (1)
Sep (1)
Aug (1)
May (1)
Mar (2)
Jan (2)
Oct (1)
Jul (1)
Jan (2)
Nov (1)
Jun (2)
May (1)
Date
Title
Preview
19 May, 2026
VACANCY ANNOUNCEMENT - DRIVER (LBS) MAY 2026, EMBASSY OF TANZANIA
Vacancy_Announcement_-_Driver_(LBS)__May_2026
[62 KB]
19 May, 2026
SPEECH BY HER EXCELLENCY, DR. SAMIA SULUHU HASSAN, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, ON THE OCCASION OF RECEIPT OF THE REPORT OF THE PRESIDENTIAL COMMISSION OF INQUIRY
SPEECH_BY_HER_EXCELLENCY__DR._SAMIA_SULUHU_HASSAN__PRESIDENT_OF_THE_UNITED_REPUBLIC_OF_TANZANIA__ON_THE_OCCASION_OF_RECEIPT_OF_THE_REPORT_OF_THE_PRESIDENTIAL_COMMISSION_OF_INQUIRY
[205 KB]
27 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji kwenye mkutano wa wadau wa uwekezaji wa Marekani kwenye sekta za madini na nishati barani Afrika, March 2026
27 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alikuwa ni miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye Mkutano Mkuu wa nchi wanachama wa shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC), March 2026
27 Mar, 2026
Ambassador Dr. Elsie Sia Kanza met for discussions with Mr. Jeffrey Graham, Head of the Office (SBO) responsible for Global Health Security and Diplomacy in the U.S. Department of State March 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki sherehe ya sikukuu ya Eid al-Fitr iliyoandaliwa na Jumuiya ya Waislamu Watanzania (TAMCO), Machi 2026
24 Mar, 2026
Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alishiriki katika tukio la kuadhimisha St. Patrick’s Day lililoandaliwa na taasisi ya Tanzanian Children’s Project (TCP), Machi 2026
24 Mar, 2026
Ubalozi ulishirikiana na shirika la International Cotton Advisory Committee (ICAC) lenye makao makuu Washington DC kuandaa mkutano wa wadau wakuu wa sekta ya pamba na nguo nchini Tanzania, Machi 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amemwakilisha Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye shughuli ya mazishi ya Hayati Mchungaji Jesse L. Jackson, Sr., Machi 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alipata heshima ya kushiriki halfa ya chakula cha asubuhi iliyoandaliwa na uongozi wa Ofisi ya Masuala ya Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Machi 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza alifurahi kujumuika na Mhe. Muriel Bowser, Meya wa jiji la Washington, D.C. Februari 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye maonesho ya 54 ya uwindaji ya Safari Club International Convention (SCI) yaliyofanyika jijini Nashville, Tennessee, kuanzia tarehe 18-21 Februari 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa taasisi ya hisani ya Convoy of Hope ya hapa Marekani, Bw. Kevin Rose na Bw. Mark Powers, Februari 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na viongozi waandamizi wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Compassion International, Februari 2026
24 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Vincent D. Spera, Naibu Waziri Mdogo (Deputy Assistant Secretary) kwenye Ofisi ya Masuala ya Afrika, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekan
23 Mar, 2026
Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Bw. Eric Trachtenberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Kamati ya Kimataifa ya Ushauri kuhusu zao la Pamba (ICAC) Januari 2026
23 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Wilbard Shihepo Manique Hellao, Balozi Mpya wa Namibia nchini Marekani, Januari 2026
23 Mar, 2026
he. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza amefurahi kukutana kwa mazungumzo na Mhe. David Douglas Hamadziripi, Balozi Mpya wa Zimbabwe nchini Marekani, Januari 2026
23 Mar, 2026
Mheshimiwa Balozi Dkt. Elsie S. Kanza amekutana kwa mazungumzo na Dkt. Zarau W. Kibwe, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Kundi la Kwanza la Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Januari 2026
23 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie S. Kanza ameshiriki kwenye kampeni maalum ya kushawishi mamlaka za nchi ya Marekani kurefusha muda wa kutekeleza programu AGOA, Washington D.C., Januari 2026
23 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza alijumuika na Mhe. Marco Rubio, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani pamoja na mke wake, Bi. Jeanette Rubio, kwenye hafla ya Sikukuu ya Noeli Desemba 2025
23 Mar, 2026
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Mhe. Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Marekani ambaye ni Mjumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika, 2025
23 Mar, 2026
Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na Mhe. Dkt. Ronny L. Jackson, Mjumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, Desemba 2025
23 Mar, 2026
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania akutana na Mhe. Mbunge Brian J. Mast, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, Desemba, 2025
23 Mar, 2026
Mhe. Balozi Dkt. Elsie Sia Kanza akiwa na Seneta Susan Collins, Mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Bajeti ya Bunge la Seneti la Marekani.
Previous
1
4
5
6
7
8
Next